Wednesday, 6 May 2015

NITAWEKA WAZI MAISHA YANGU >>> UWOYA

         Tokeo la picha la IREN UWOYA        Tokeo la picha la IREN UWOYA
MWIGIZAJI Irene Uwoya amesema anajiandaa kuweka wazi historia yake ya maisha maana kuna watu wanapotosha mashabiki wake kwa taarifa za uongo ambazo hazina uhusiano na maisha yake halisi.
Uwoya amesema atafanya hivyo kwa kuwa anataka mashabiki wake waelewe maisha yake halisi na wawapuuze wanaompakazia kwa historia za ajabu zenye lengo la kumchafua na kumrudisha nyuma katika kazi zake na uhusiano wake wa kimapenzi.


   Tokeo la picha la IREN UWOYA                     Tokeo la picha la IREN UWOYA                   

“Nitayaanika maisha yangu halisi ili wote wanielewe vema na waachane na kunichukulia tofauti, maana naamini najijua mwenyewe nilikotokea na namna ninavyoishi, hivyo nitaweka wazi ili watu watambue maisha yangu na sipendi watu wanizungumzie kwa kuwa hawayajui maisha yangu,’’ alieleza Uwoya.


                                              Tokeo la picha la IREN UWOYA  
 
             iRENE uWOYA   Tokeo la picha la IREN UWOYA                                


No comments:

Post a Comment