Jaji wa Mahakama ya Afghan
amewahukumu wanaume wanne adhabu ya kifo kwa muua kwa kumshambulia
mwanamke mmoja mjini Kabul zaidi mwezi mmoja uliopita.

Mwili wake ulichomwa mwoto. Watu wengine 49 wanaendelea na kesi, wakiwemo polisi 19 wanaotuhumiwa kwa kushindwa kuingilia kati kumwokoa mwanamke huyo.
Mauaji hayo yalisababisha hasira kutoka maeneo mbali mbali duniani ambayo pia yalisababisha maandamano nchini Afghanistan kupinga jinsi mwanamke huyo alivyotendewa.
No comments:
Post a Comment