Katika harakati za kupambana na ukatili wa kijinsia hususan ukeketaji wa wanawake nchini Tanzania,zaidi ya mabinti 16 waliotoroka makwao baada ya kuona kila dalili ya kutaka kukeketwa na jamii zao,wazungumza wakiwa Tarime mkoani Mara,wakati huu shule zikifunguliwa.
No comments:
Post a Comment