Dakika 41 zilizopita
Habari
kuu ya teknolojia wiki hii ni le ya muungano wa ulaya uliolalamika
kwamba Kampuni ya Google ilikuwa ikijipendelea zaidi katika soko
lake.Google sasa ina wiki kumi kujibu malalamishi hayo licha ya kusema
kuwa haikubaliani na madai hayo na kwamba iikuwa ikijiandaa kujitetea.
No comments:
Post a Comment