Dustan Shekidele, Morogoro
Martha Masawe akiwa kwenye foleni.
Akihojiwa na Ijumaa Wikienda huku akiangua kilio hospitalini hapo Martha alisema:
Martha Masawe akilia kwa uchungu baada ya kuibiwa mwanae.
“Nikiwa kwenye foleni alikuja mama mmoja, akaomba amshike mwanangu huku akisema ni mzuri.
“Baadaye aliniuliza ana tatizo gani? Nikamwambia anaumwa kifua, akanishauri twende dukani tukamnunulie sweta.
“Tulikwenda maduka ya Kikundi tukanunua sweta na nguo nyingine kisha kila mtu akapanda bodaboda yake tukaanza safari ya kurudi hospitali.
Martha Masawe akiwa hajui afanye nini baada ya kuibiwa mwanae.
Baadaye mama huyo alipata msaada wa askari wa doria, afande Mwajabu aliyeongozana naye kwenda kituo cha polisi kufungua mashtaka na namna ya kumuelewesha mumewe.
No comments:
Post a Comment