Wednesday, 22 April 2015

KANALI NA DEREVA WAKE WAUWAWA .. >

                              
                                ASKARI WAKIFANYA DORIA MISRI .

Kanali mmoja wa polisi Nchini Misri na dereva wake wamepigwa risasi na kuuawa.
Kanali Wael Tahoun alifariki hapo jana Jumanne jioni, walipokuwa wakielekea kazini mjini Cairo. Hakuna kundi lililokiri kuhusika na shambulio hilo, lililotokea saa chache baada ya mahakama Nchini humo, kumhukumu jela miaka 20, aliyekuwa Rais wa kiislamu Mohammed Morsi.

No comments:

Post a Comment