
Rais wa Poland Bronislaw Komorowski amekubali kushindwa katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita.

Matokeo haya hayakutegemewa kwa Komorowski na yana chukuliwa kama tahadhari kwa serikali hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa wabunge baadae mwaka huu.
Poland imekuwa na uchumi imara katika miaka ya hivi karibuni ljapo kuwa wadadisi wa mambo wanasema raia wa taifa hilo wanadai kutonufaika na maendeleo hayo. Rais mpya wa Poland anatarajiwa kuanza kazi August mwaka huu.
No comments:
Post a Comment