Kuelekea mwisho wa uchaguzi huo matokeo yanaonyesha dalili za vyama hivyo vipya kuelekea ushindi kutokana na utafiti wa awali.
Hata hivyo vyama vya mlengo wa kushoto Podemos na vile vya mlengo wa kati kulia Ciudadanos vimeonekana kupata ushindi katika maeneo mengi.
Ajenda inayobebwa na waendesha kampeni wengi katika uchaguzi huo ni kutokomeza rushwa, majimbo ya Madrid na Barcelona katika uchaguzi huo ndiyo yameonekana kuwa kikwazo kwa wagombea wengi.

Wapiga kura Hispania
No comments:
Post a Comment