Kamanda wa polisi katika mji wa
Ferguson nchini Marekani amejiuzulu baada ya ripoti ya shirikisho
kulaumu kitengo chake kina ubaguzi.
Kijana huyo aliuawa na mmoja wa maafisa wake Agusti mwaka jana.
Meya wa eneo hilo James Jackson amemuelezea kamanda huyo wa polisi kama mtu muadilifu ambaye anatumai kuwa kuondoka kwake kutasaidia jamii kumaliza machafuko yaliyofuatia baada ya mauaji hayo.
Afisa wa ngazi za juu katika utawala wa mji wa Frguson na Jaji wa manispaa walijiuzulu mapema wiki hii.
No comments:
Post a Comment