
Tony Abbot
Waziri mkuu wa Australia Tony Abbot
hajapinga ripoti kuwa maafisa wake mpakani mwa taifa hilo waliwalipa
walanguzi wa watu fedha ili kuirejesha mashua iliyokuwa imejaa wahamiaji
hadi Indonesia.

Mwaandishi habari wa BBC mjini Sydney, anasema kuwa Australia imechukua uamuzi mgumu dhidi ya wahamiaji huku ikifanya kila mbinu kuzizuia mashua zinazowabeba wahamiaji kufika kwenye fukwe zake.
No comments:
Post a Comment