
Afisi ya juu katika serikali ya Uingereza imeiambia BBC kuwa ililazimu majasusi wa Uingereza kuhamishwa kutokana na sababu kuwa Urusi na China zifanikiwa kupata taarifa za kisiri jinsi zinavyoendesha shughuli zake zilizoibiwa na jasusi raia wa marekani Edward Snowden.

Edward Snowden ambaye ni mwanakandarasi wa zamani katika shirika la ujasusi la marekani , aligonga vichwa vya habari miaka miwili iliyopita baada ya kifichua ujasusi wa mitandao na wa simu uliokuwa ukiendeshwa na Marekani na Uingereza. Kwa sasa anaishi nchini Urusi.
No comments:
Post a Comment